| Mkurugenzi msaidizi wa radio saut Mr. Atanas akiwa na staff wengine katika pozi. |
| DJ Lukas Maziku(Radio Saut) akismile.Huyu ndiye msimamizi wa mpango mzima that day |
| J Kapongo (Barmedas TV) |
| Dotto Bulendu (mkurugenzi mkuu wa radio Saut)akitoa historia fupi ya radio |
| kuanzia kushoto ni The TZ Dream, DJ Maziku, T Nock, Producer Mnyambudu na J Kapongo |
| Wakubwa wa JIJI wakikinukisha Stejini... |
| THE EMPIRE FAMILY wakifanya yao... |
| watu waliimbishwa wimbo wa taifa ROCKCITY ANTHEM(PARTY TIME) |
| Put your hands uuuup.....!!! |
| Winfrida Chumi(MC wa show)...So cute hah! |
| Wazawa (T Nock na Mo Music) wapagawisha mwanzo mwisho |
| T Nock Mamelodi mzee wa vokali... |
| Hii ni sehemu tu ya mashabiki waliohudhuria mchongo huo.PARTY timeeee. |
| Nyanda Van B ( MC) akiteta jambo na Mo Music wa Wazawa |
| TEACH ME HOW TO DOGGIEEEE... |
| DJ Talla on wizo na chuma, one and two.... |
| Watu makini hufanya kazi kwa macho matatu...DJ Talla on the mix |
| Producer bora chipukizi 2013 D Clasic alipanda pia kuhusika na killi Awards |
| Backstage nako kulikuwa na yake... |
| Shangwe,swagga na gammmbe... |
| THE EMPIRE FAMILY OF STARS katika pozi |
| After Party mida kama ya sa saba hv usiku mitaa ya Nyamalango |
| Kula time |
| Alloyce Nyanda (VAN B) |
| Denis Love wa The EMPIRE |
| King of Mwanza RnB Denis Love. |
No comments: