PHOTOS

DOWNLOAD MP3

VIDEOS

GOSPEL

NEWS

TUTORIALS

Habari zimetufikia hivi punde kwamba Mheshimiwa Kapteni John Damian Komba, Mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM wilaya ya Mpya ya Nyasa, amefariki dunia majira ya saa kumi alasiri, katika hospitali ya TMJ, Kinondoni-Dar es salaam. Bado chanzo cha kifo chake hakijawekwa wazi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa.,jina lake lihimidiwe

About mbudutouches

C.E.O at Delta Media Studios, Music engeneer, video director and producer, song writter, graphics designer and music promoter.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Andika maoni


Top