PHOTOS

DOWNLOAD MP3

VIDEOS

GOSPEL

NEWS

TUTORIALS

Maafisa wa  Marekani wamewakamata wanaume watatu Jumatano kwa tuhuma za kupanga njama za kuunga mkono kundi la kigaidi la Islamic State  nchini Syria na kumwua  rais Barack Obama, polisi na mawakala wa idara ya makosa ya jinai ya Marekani (FBI) ndani ya Marekani. Maafisa wanasema wanaume wote watatu walikuwa wakiishi jijini New York  ingawa wawili wametambulishwa kama raia wa Uzbekistan na wa tatu kama raia wa Kazakhstan.

About mbudutouches

C.E.O at Delta Media Studios, Music engeneer, video director and producer, song writter, graphics designer and music promoter.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Andika maoni


Top